Saturday, May 10, 2014

DISCUSSION ON EU-TANZANIA TRANSFER AGREEMENT WHICH ALLOWS TO TRIAL PIRATES CAPTURED BY EUROPEAN NAVAL FORCES IN TANZANIA COURTS

1
From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Chargé d´Affaires a.i. Hans Koeppel of the German Embassy in press conference for the role of EUNAVFOR, its cooperation with Tanzania and the recently signed European Union-Tanzania Transfer Agreement which allows to trial pirates, who are captured by European naval forces, in Tanzanians courts.
2
The Chargé d´Affaires a.i. Hans Koeppel from Embassy of Federal Republic of Germany welcomed the visit of the flagship as “an important sign of the common fight against piracy along the coast of the Indian Ocean”. He also talk about the aim of Task Force to fight against pirates with the countries bordering the coast of Indian Ocean including Tanzania.
3
Political Officer Delegation of European Union Tom Vens discuss about Europe day and Europe day , He also talk about the European Task Force that help security situation in the Earth lastly he discuss about good relationship between European Union and East African Community and Good Political relationship Between European Union and Tanzania.
4
Commander Force Force 465 Rear Admiral Jürgen zur Mühlen emphasized that the threat of piracy continues to exist. 10 days ago, the crew of Brandenburg boarded an Indian dhow which was formerly held hostage by pirates. The pirates fled from the captured dhow as EU naval forces intervened from the air and sea. “This event confirms that the piracy threat is still very real in the Indian Ocean. The deterrence and swift action by EU Naval Force once again denied the freedom of action to pirates”,
IMG_0221
Public Relation Officer of European Union Dormann addressing some issues during Press Conference.
8
9
Different media During the Press Conference at Umoja House today.
To Listen Click the Link down
Click here to Reply or Forward

Friday, May 9, 2014

BAADA YA UCHOVU WA KAZI::LEO NI AMSHA AMSHA NA SKYLIGHT BAND PALE THAI VILLAGE USIKOSEEEEEEE

Aneth kushaba(AK 47)akiiimba kwa hisia kali ndani ya kiwanja cha kijanja cha Thai Village akiwa na kikosi kamili cha Skylight Band.
Wanamwita Sam Mapenzi mzee wa Sauti nyororoooo akipagawisha vilivyooo ndani ya Thai village
Maua mazuriiiii ya Skylight band kutoka kushoto ni Aneth kushaba(AK 47) Digna mpera na Winfrida Richard wakiwa wanapata uphoto wenye ISO za kutoshaaa ndani ya Thai Village
Mpiga Drums wa Skylight band akiwa na furaha ya kutosha baada ya kuona mashabiki wake wanafurahia upigaji wake mahiri na wa kusisimua ndani ya Thai Village

Testimon Testimony ehhhhhh ni furaha yakutosha kwa mashabiki hawa wa Skylight Band wanayoipata kutoka kwa Bendi yao ya kijanja na iliyokamilika kila idara.
Mwanamuziki wa Skylight band Sam Masamba akiyarudi mangoma makali yaliyokuwa yakiporomoshwa naye na Wenzie,yani ni raha tupuuu ukiwa unapata ladha tamu za skylight band.
Aiiiiiii Aiiiiiii Aiiiii ni Aneth kushaba akiyarudi mauno mororoooooo kuwapagawisha mashabiki wake ndani ya Thai village
Mpenzi wangu nasema mi sikufanyaaaaaaaaaaaa,hapo aneth kushaba akiimba kibao matata cha kariakooo ndabi yaThai Village
Anaitwa Hashimu Donode akiimba kwa umakini na hisiaa kuwapagawisha wapenzi wa Skylight Band ndani ya Thai Village
Kutoka kushoto ni Winfrida Richard,Hashimu Donode na Digna mpera wakiwa mguu pandeeee sasa kuwapagawisha wapenzi wa Skylight Band ndani ya Thai Village
Wazeeee wa Jsb mpooooo tupooooooooo,wakiyarudi kwa utamuuuuu masebene yanayoporomoshwa kwenye kiota cha Thai Village na Bendi yao ya Skylight.
Mashabiki wa skyligth wakifurahia muziki mzuriiiii toka kwa bendi yao nzuriiiiii ya Skylight band ndani ya Thai Village.
Toka kushoto ni Joniko Flower,Aneth kushaba na mwenzao wakiyarudi mauno kwa umaridadi kabisaaaaaa kuwaburudisha mashabiki wao ndani ya Thai Village.
Gere mama gereeeeeeeee,ni mduara mkaliiiiii na mzuriiiiii ukiporomoshwa na bendi ya Skylight kwa mashabiki wao ndani yaThai Village.
Mratibu akinyoosha mikono juuuuu juuuuu akifeeeel hapyyyyy hapyyyyyyyy ndani ya Thai Village akiwa na mdau wa bendi na shabiki mkubwaaaa wa muziki mzuri wa Skylight Band

RCL YAANZA KUTIMUA VUMBI KATIKA VITUO VITATU


Michuano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) inayoshirikisha timu 27 inaanza kutimua vumbi kesho (Mei 10 mwaka huu) katika vituo vitatu vya Morogoro, Mbeya na Shinyanga kwa mechi mbili kila siku.

Kundi A ambalo mechi zake zinachezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, African Sports ya Tanga itacheza na Kiluvya United FC ya Pwani saa 8 mchana wakati saa 10 jioni ni Mji Mkuu FC (CDA) ya Dodoma dhidi ya Pachoto Shooting Stars ya Mtwara.

Jumapili (Mei 11 mwaka huu) katika kundi hilo kutakuwa na mechi kati ya Bulyanhulu FC (Shinyanga) na Kariakoo SC (Lindi) itakayoanza saa 8 mchana wakati saa 10 jioni ni Navy FC (Dar es Salaam) na Abajalo FC pia ya Dar es Salaam.

Kundi B katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya litaanza ligi kwa mechi kati ya Ujenzi (Rukwa) na Volcano FC (Morogoro) saa 8 mchana wakati saa 10 jioni ni AFC ya Arusha na Panone FC ya Kilimanjaro.

Mei 11 mwaka huu saa 8 mchana ni Mpanda United ya Katavi na Magereza ya Iringa wakati Tanzanite (Manyara) na Njombe Mji (Njombe) zenyewe zitaumana kuanzia saa 10 jioni.

Simiyu United ya Simiyu na Mvuvumwa FC (Kigoma) ndizo zitakazoanza kucheza saa 8 mchana katika kundi C linalotumia Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga. Saa 10 jioni ni mechi kati ya Wenda FC ya Mbeya na mabingwa wa Mkoa wa Kagera, Eleven Stars FC.

Jumapili (Mei 11 mwaka huu), mechi za kundi hilo zitakuwa Singida United (Singida) na Mbao FC ya Mwanza kuanzia saa 8 mchana wakati jioni ni pambano kati ya mabingwa wa Mkoa wa Mara, JKT Rwamkoma FC na Geita Veterans FC ya Geita.

Ligi hiyo itamalizika Juni 2 mwaka huu ambapo timu itakayoongoza kila kundi itapanda daraja kucheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu wa 2014/2015.

MAKOCHA NGORONGORO HEROES, EAGLES KUTETA
Makocha wa timu za Tanzania (Ngorongoro Heroes), John Simkoko na Nigeria (Flying Eagles), Manu Garba wanakutana na waandishi wa habari kuzungumzia mikakati yao kwa ajili ya mechi ya Jumapili.

Mkutano huo utafanyika kesho (Mei 10 mwaka huu) kwenye ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuanzia saa 5 kamili asubuhi.

Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 20 itafanyika Jumapili (Mei 11 mwaka huu) saa 10 kamili jioni katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Fainali hizo za 19 za Afrika zitafanyika mwakani nchini Senegal zikishirikisha timu saba zitakazofuzu kwenye mechi za mchujo, na Senegal wanaoingia moja kwa moja kutokana na kuwa wenyeji.

Wakati Ngorongoro Heroes leo (Mei 9 mwaka huu) saa 10 jioni itafanya mazoezi yake Uwanja wa Azam uliopo Chamazi, Flying Eagles yenyewe muda huo huo itafanya mazoezi Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume.

Viingilio katika mechi hiyo ni sh. 2,000 kwa sehemu zote wakati upande wa VIP itakuwa sh. 5,000. Tiketi zitauzwa uwanjani siku ya mechi katika magari maalumu.


MIYEYUSHO VS MOHAMED MATUMLA WAPIMA UZITO KUPIGANA MAY 10 JUMAMOSI P.T.A SABASABA


Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto na Mohamed Matumla wakitunishiana msuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba siku ya jumamosi ya may 10 
Bondia Mohamed Matumla akipima uzito

Thursday, April 24, 2014

KLINIK YA AIRTEL YAANZA


Monday, April 21, 2014

WEMA SEPETU ASHINDA TUZO YA IJUMAA SEXIEST GIRL, WEUSI, WANAUME FAMILY WAFUNIKA SHOO YA PASAKA DAR LIVE

Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' akiwa na tuzo yake baada ya kuibuka Ijumaa Sexiest Girl 2013/14 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Wema akiwashukuru mashabiki wake waliompigia kura na hatimaye kuibuka mshindi.
...Akiwapa tano mashabiki waliofurika Dar Live katika Sikukuu ya Pasaka.
Wema, Wema, Wema... mashabiki wakimshangilia 'Beautiful Onyinye' baada ya kutangazwa mshindi.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa lililokuwa likiendesha shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Amran Kaima (kulia) akipozi na mshindi Wema Sepetu. Kushoto ni shabiki wa Wema.
Amran Kaima akielezea mchakato uliotumika kumpata mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na shangwe za Dar Live.
Mratibu Mkuu wa kampuni ya Global Publishers, Luqman Maloto akiwakaribisha Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho na msanii Nikki wa Pili kukabidhi tuzo kwa mshindi.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho akiongea machache kabla ya zoezi la utoaji tuzo.
Msanii kutoka kundi la Weusi, Nikki wa Pili akimtaja mshindi.
Wema Sepetu akiwa stejini baada ya kutangazwa mshindi.
Nikki wa Pili akimkabidhi tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl, mrembo Wema Sepetu.
Wema akipozi na tuzo yake.
Wema akicheza wimbo wa Number One ulioimbwa na mpenzi wake Diamond Platnumz baada ya kutwaa tuzo.
Washereheshaji katika usiku wa Pasaka, Pamela Daffa na Benjamin Mwanambuu wakifanya yao stejini.
Said Fella (wa pili kushoto) akiwa na crew ya Madj ndani ya Dar Live.Dogo Aslay akiwapagawisha mashabiki wa burudani waliofurika ndani ya Dar Live.
...Aslay akijiachia na shabiki wake aliyepanda stejini kumpa sapoti.
...Akimchombeza shabiki mwingine aliyepanda stejini.
Kundi la TMK Wanaume Family likifanya vitu vyao stejini.
Mhe. Temba akiwarusha mashabiki wa Dar Live.
Chegge Chigunda 'Mtoto wa Mama Said' akizikonga nyoyo za wana Dar Live.
TMK Wanaume Family wakizidi kulishambulia jukwaa la Dar Live la kupanda na kushuka.
Wana Hip hop wa Kundi la Weusi, Joh Makini (kulia) na G-Nako wakiwapa raha mashabiki.
Mashabiki wakifuatilia shoo ya Weusi.
Joh Makini kazini.
G-Nako akiwadatisha wapenzi wa Hip hop.

WANAOTEMBELEA KWA SIKU